Vikundi Vyajitokeza ‘Kum-Support’ Jacob Zuma Makahamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Vikundi vyajitokeza ‘kum-support’ Jacob Zuma Makahamani
Vikundi mbalimbali nchini Afrika Kusini ikiwemo vya kidini vimeandaa mkesha maalumu utakaofanyika usiku wa April 5, 2018 Jijini Durban kama ishara ya kuwa nyuma ya Rais Mstaafu wa nchi hiyo Jacob Zuma anayetarajia kupandishwa kizimbani.

Wafuasi hao wameandaa mkesha huo saa chache kabla ya Zuma kufikishwa Mahakama Kuu ya KwaZulu Natal kujibu mashtaka 16 ya ubadhirifu, rushwa na utakatishaji fedha ambayo yanahusishwa na malipo 783.

Malipo hayo yanadaiwa kufanywa kwa kuhusishwa na biashara ya silaha ambayo yanakadiriwa kuwa na thamani ya mabilioni ya Rand (aina ya pesa) ya nchini humo.

Mwenyekiti wa Chama cha Maveterani wa Jeshi wa chama cha siasa cha ANC Kebby Maphatsoe amesema atahudhuria kesi hiyo kwani amejifunza kusaidia rafiki wakati wa dhiki.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad