AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hilo lilibainika baada ya wanawake hao, miongoni mwa mamia waliofika ofisini hapo ili kupatiwa msaada wa malezi na matunzo ya watoto wao waliotelekezwa na baba zao.
Katika mfululizo wa misaada ya aina hiyo, leo wanaume waliotelekezewa watoto na mama zao, watafika ofisini kwa mkuu wa mkoa huyo kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi wa suala hilo.
Wakati huohuo, Makonda akihutubia wakati wa uzinduzi wa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka 14 unaofanyika leo katika viwanja vya Zakeem Mbagala, amesema wanawake 47 waliofika ofisini kwake jana wanadai wabunge ndiyo wamewatelekeza na watoto na wengine wamesema wamezalishwa na kutelekezwa na viongozi wa dini mbalimbali.
Katika hafla hiyo ya utoaji wa chanjo, mgeni rasmi alikuwa ni Makamu wa Rais Samia Suluhu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK