AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwenye kipindi cha DADAZ kinachorushwa na East Africa Television, Dogo Janja amesema wanaume wengi hutumia uongo ili kuwanasa wanawake, hata kufikia hatua ya kujitangazia mali ambazo hana uwezo wa kumiliki.
“Unajua vijana wengi kwenye mapenzi ni waongo, hususan wanaume ni waongo sana, ogopa sana yule mwanaume ambaye anakufuata na magari, heshimu yule anayekufuata na mguu anakanyagia, yuko real, anakueleza mimi nakupenda, uwezo wangu mimi ni hivi, huenda nikapata huenda nikakosa, tofauti na yule anakuja anakuchukua anakupeleka huku, anakununulia wigi la laki nane, mwisho ataanza kukopa kopa atakuongopea”, amesema Dogo Janja.
Dogo Janja amesema hata yeye moja ya kigezo cha kumpata mke wake ambaye ni mmoja ya waigizaji warembo bongo, alikuwa muwazi na mkweli, na kumwambia kabisa hana uwezo mkubwa kipesa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK