Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan Afutwa Kazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri wa mambo ya nje wa Sudan afutwa kazi
Waziri wa mambo ya nje wa Sudan Ibrahim Ghandur amefutwa kazi.

Katika taarifa iliyotolewa ni kwamba rais Omer al-Bashir amemfuta kazi waziri wake wa mambo ya nje Ibrahim Ghandur.

Hata hivyo mpaka sasa hakuna maelezo kamili ya sababu kuu ya kufutwa kazi kwa waziri huyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad