Yanga yafunguka Kuhusu Kuondoka kwa Lwandamina

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya kuenea kwa uvumi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga, George Lwandamina, amerejea kwao Zambia kujiunga na timu yake ya zamani, Zesco United, uongozi Yanga umekiri uwepo wa taarifa hizo.

Kupitia Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa klabu ya Yanga, Salum Mkemi, amesema kuwa ni kweli taarifa hizo zimesambaa mitandaoni lakini hawana uhakika kama Lwandamina aeshajiunga na Zesco United.

Licha ya uwepo wa taarifa hizo, Kupitia Radio EFM (E Sports), Mkemi amwemwelezea Kocha Lwandamina kama Mwalimu aliyekuwa anakuza vipaji vya vijana na kuwatengeneza kuwa mhimili wa timu.

Taarifa zilitoka hivi punde kutoka Zesco United, zimethibitisha kuwa Lwandamina ameshajiunga tayari na miamba hao wa Zambia.

Lwandamina ameondoka Yanga ikiwa inajiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida United utakaopigwa kesho katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad