AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akisimulia tukio hilo, mtoto wa marehemu amesema baada ya kwenda kumsalimia baba yake (marehemu) alimkuta ameshafariki huku akitokwa na povu mdomoni na puani.
Marehemu aliacha ujumbe wa barua wenye maneno yasemayo kuwa “…Kwa kuwa nimekuwa kero kwa familia yangu nimeamua kujiua…”
Aidha, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo amethibitisha kutokea kwa kifo hicho japo hakueleza ni aina gani ya sumu ambayo marehemu alitumia kujiua. Jeshi hilo linaendelea na upelelezi wa tukio hilo kabla ya kutoa taarifa kamili kwa umma.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK