AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga ilikubali kuanza vibaya dhidi ya USM Alger kwa kufungwa idadi ya mabao 4-0, mechi ikipigwa majira ya saa 4 usiku wa jana.
Yanga itaanza safari yake kwa kupitia nchini Dubai kisha kuanza tena safari ya kuendelea kurejea Tanzania.
Matokeo hayo ni mwanzo mbaya kwa Yana kutokana na kipigo hicho kikali ambapo sasa inahitaji kuweka nguvu nyingi katika michezo mingine itakayofuata kwenye kundi hilo.
Ukiachana na USM Alger, ikumbukwe Yanga ipo na timu za Rayon Sports ya Rwanda na Gor Mahia FC ya Kenya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK