Bill Nas akiri video yake na Nandy imemuharibia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWANAMUZIKI wa Hip Hop Bongo, William Lymo ‘Bill Nas’, amefunguka kwamba video ya utupu inayomuonesha yeye na mwanamuziki Nandy, aliyewahi kuwa mpenzi wake bado inamtesa kwa sababu imeporomosha heshima yake kwa kiasi kikubwa.

Akichonga na Mikito Nusunusu, Bill Nas aliongeza kuwa wakati video hiyo inavuja alikuwa Dubai kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu yake ya kuzaliwa na kabla ya hapo kuna vitu alikuwa amepanga kuvifanya baada ya kurudi nchini, lakini ameshindwa kufanya kutokana na video hiyo.

“Kiukweli ile video bado inanikosesha amani kwa maana kuna watu mpaka huwa naona noma ‘kuwaface’ nikifikiri waliiona video hiyo.

“Hata hivyo namshukuru Mungu watu wengi wameweza kunielewa hasa watu wangu wa karibu, ninafahamu hili nalo litapita,” alisema Bill Nas.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad