Harmorapa Afunguka Sababu ya Kutohudhuria Harusi ya Alikiba "Nilialikwa Ila Nilikua Afrika Kusini"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Harmorapa Afunguka Sababu ya Kutohudhuria Harusi ya Alikiba "Nilialikwa Ila Nilikua Afrika Kusini"
Baada ya ukimya mrefu msanii Harmorapa ameibuka na kueleza sababu ya kilichopelekea kupotea ghafla.

Harmorapa amesema kwa kipindi kirefu alikuwa nje ya Dar es Salaam kwa kuandaa kazi zake mpya ambazo alikuwa akizifanyia nchini Afrika Kusini.

Pia Harmorapa amedai kuwa yeye ni miongoni mwa wasanii waliohalikwa katika harusi ya msanii Alikiba ila alishindwa kuhudhuria kutokana na safari yake hiyo.

“Uongo dhambi, kualikwa nilialikwa sema nilikuwa sipo Dar es Salaam, kwa hiyo ile kuwa mbali ilisababisha kutohudhuria kwenye harusi, nilikuwa bize nasafiri sana,” Harmorapa ameiambia TV E.

Katika hatua nyingine amedai kuwa nia yake ya kumuoa Wema Sepetu ipo pale pale kwani ni kitu ambacho anaamini kipo ndani ya uwezo wake, huku akieleza kama Dogo Janja ameweza kumuoa Irene Uwoya haoni sababu ya yeye kushindwa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad