Inasikitisha! Muuguzi Amefariki kwa Ugonjwa wa Ebola Wakati Chanjo Inatolewa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Inasikitisha! Muuguzi Amefariki kwa Ugonjwa wa Ebola Wakati Chanjo Inatolewa
Chanjo ya Ebola imeanza kutolewa nchini DRC huku muuguzi mmoja akiripotiwa kufariki dunia kutokana na ugonjwa huo katika mji wa Bikoro, kaskazini magharibi mwa taifa hilo na kuongeza idadi ya waliokufa kutokana na mlipuko wa Ebola kufikia 27.

Mkuu wa shirika la Afya Duniani, WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema mjini Geneva katika mkutano wa kila mwaka wa WHO unaohudhuriwa na nchi wanachama 190 kuwa anafurahi kwamba chanjo hiyo imeanza kutolewa na amefurahishwa na hatua za dharura za kimataifa zilizochukuliwa kuukabili.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad