AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sasa habari mbaya kwake ni kwamba Jaji wa Jiji la New York, Naomi Reice Buchwald amesema kuwa Rais huyo anatakiwa kuwa mvumilivu na mnyenyekevu kwenye mitandao ya kijamii hasa pale anapokutana na watu wanaompinga, kumkejeli na kumtolea lugha za matusi kwani yeye ni kiongozi wa taifa na anawajibu wa kumsikiliza kila mtu.
Buchwald kwenye taarifa yake aliyoitoa juzi Mei 23, 2018 amesema Rais Trump hatakiwa kabisa kum-block mtu yeyote kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii, kwani kufanya hivyo ni kuvunja katiba ya nchi. Soma taarifa ya Jaji Buchwald hapa chini.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK