Jaji Amuonya Rais Trump Kuhusu Mitandao ya Kijamii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jaji Amuonya Rais Trump Kuhusu Mitandao ya Kijamii
Hakuna ubishi kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump ni moja ya Marais maarufu zaidi kwenye mitandao ya kijamii kwani haipiti siku bila Rais huyo kuposti au kutweet.

Sasa habari mbaya kwake ni kwamba Jaji wa Jiji la New York, Naomi Reice Buchwald amesema kuwa Rais huyo anatakiwa kuwa mvumilivu na mnyenyekevu kwenye mitandao ya kijamii hasa pale anapokutana na watu wanaompinga, kumkejeli na kumtolea lugha za matusi kwani yeye ni kiongozi wa taifa na anawajibu wa kumsikiliza kila mtu.

Buchwald kwenye taarifa yake aliyoitoa juzi Mei 23, 2018 amesema Rais Trump hatakiwa kabisa kum-block mtu yeyote kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii, kwani kufanya hivyo ni kuvunja katiba ya nchi. Soma taarifa ya Jaji Buchwald hapa chini.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad