AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
One ambaye anatamba na ngoma ‘Put It On Me’ ameiambia The Playlist ya Times FM licha ya kuwa msanii yeye ni shabiki wa hip hop hivyo anajua vingi katika muziki huo.
“Kwanini naamini Tiffah Flow ni rapper bora kabisa, kwa sababu ndiye MC pekee wa kike Tanzania hii, yeye na Stosh, unaweza ukafanya naye ngoma na usitegemee ataandika kitu gani,” amesema.
“Ninachukulia nipofanya ngoma na mtu kama Tiffah au Stosh ni sawa sawa ninapofanya ngoma na mtu kama Young Killer, nategemea kutakuwa na utunzi fulani wa ziada,” amesisitiza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK