AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtazamo wa Madee unatofautinaa na ule wa Diamond Platnumz pale alipoulizwa kuhusu mwanae Tiffah kuja kufanya muziki. Katika mahojiano na KTN, May 2017 alisema anaogopa iwapo Tiffah ataingia katika muziki ataweza atembea kimapenzi na wanaume wengi.
Sasa Madee katika mahojiano na Bongo5 hivi karibuni alisema licha ya mara nyingi kuwa na wanae hata studio hajui iwapo atapenda muziki lakini yeye kama mzazi hawezi kumuwekea mipaka.
“Tunashauriwa tuwaangalie watoto wafanye kile ambacho wanapenda kwa sababu anaweza kuwa anapenda mpira mimi nikamzuia nikamwambia afanye kitu kingine na asifanikiwe, nitakuwa nimepata lawama,” amesema.
“So akielekea huko mimi sina tatizo kwa sababu hata mimi mwenyewe nimemfuata baba yangu alikuwa ni mwanamuziki wa Western Tabora Jahazi Band wala hakutegemea nitakuwa mwanamuziki, so sitaona maajabu sana kwa sababu Waswahili wanasema maji hufuata mkondo,” Madee ameiambia Bongo5.
Mtoto wa Madee, Aimal Hamad ni miongoni mwa watoto wa wasanii ambapo pia wanapatikana katika mtandao wa Instagram.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK