Mastaa Wazungumzia Clip ya Polisi ya Kukamata Wanaojikoolesha (Shambulio la Aibu)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya kusambaa kwa clip ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Hassan Nassir akiwa anazungumzia suala la kuwa kamata na kuwafikisha mahakamani wanaume wanao jikoolesha au hata kuwasumbua wanawake wenye maumbile makubwa haswa sehemu za nyuma, Baadhi ya mastaa wamelizungumzia hilo.

Mastaa hao ni pamoja na Muimbaji/Muigizaji Snura Mushi pamoja na Shamsa ambao walitoa maoni yao kuhusu hilo. PLAY hapa chini kuwatazama wakielezea.

VIDEO:

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad