AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Yatakuwa ni makosa makubwa kwa Kim Jong-un kufikiri kuwa atamchezea Donald trump," Bw Pence alisema wakati akihojiwa na kituo cha Fox News.
Bw Pence pia alisema kuwa Bw Trump anaweza kuondoka kwenye mkutano huo wa Juni 12.
Korea Kaskazini imetisha kujitoa mkutano huo baada ya matamshi ya mshauri wa masuala ya ya ulinzi nchini Marekani John Bolton.
Korea Kaskazini ilijibu vikali walati Bolton alisema kuwa itafuata mfumo wa Libya katika kuondoa zana za nyuklia.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK