AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Billnass amefunguka hayo kupitia eNewz ya East Africa Television ambapo amesema kuwa hawezi kumuita mwanadada huyo ‘Ex’ wake kwakuwa waliachana kitambo na mahusiano yake hayakudumu muda mrefu.
“Nandy ni dada yangu kibusara siwezi kumuita 'Ex' wangu kwakuwa nilivyoachana nae nimeingia kwenye mahusiano na wasichana wawili tofauti hivyo historia hiyo imekuwa ya zamani sana”.
Ameendelea kusema kuwa jina hilo ameliona kuwa ndio lenye heshima zaidi kwa wakati huu, msikilize hapo chini Billnas akifunguka zaidi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK