AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shamsa amesema hayo kupitia eNewz ya EATV kuwa mume wake hajafulia kama watu wanavyosema bali amemsaidia kupunguza maisha ya ujana aliyokuwa nayo awali.
“Mimi huwa napenda kuishi maisha halisi huwa sipendi shobo na nilifanikiwa kumbadilisha mume wangu kwa kumshauri kuachana na baadhi ya vitu vya ujana na sasa hivi anafanya vitu kama mume wa mtu na mwenye majukumu wala hajafulia ila kapunguza matumizi yasiyo ya lazima amekuwa mtu mzima”. Amesema Shamsa
Shamsa ameongeza kuwa wanaosema amefulia wanakosea maana wao wameamua kuishi maisha yao ambayo watu hawawezi kuwaelewa,msikilize hapo chini amefunguka zaidi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK