AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ajali hiyo imetokea jana Mei 21, 2018 katika Kijiji cha Msoga Chalinze Mkoa wa Pwani.
Akizungumza leo Jumanne Mei 22, 2018 Kamanda wa Polisi mkoani humo, Jonathan Shanna amesema watakuwa wakali kwa madereva watakaokiuka sheria za usalama barabara bila kujali wadhifa wao.
Amesema dereva wa gari hilo alihamia upande mwingine wa barabara wakati anayapita magari mengine bila kutazama mbele, hivyo kuligonga lori hilo.
"Sheria za usalama barabarani hazina watu maalumu wa kuzitii, sio kwamba ukiwa dereva wa ofisa wa Serikali basi wewe uende tu hovyo au ukiwa muajiriwa wa Serikali napo ujione mwamba, hata kama ni dereva wangu tutakushughulikia tu,” amesema.
Akisimulia ajali hiyo, amesema watu watatu ambao ni watumishi wa Serikali wakiwa safarini kwenda Dodoma kikazi walifariki dunia katika ajali hiyo.
Amewataja waliofariki dunia kuwa ni Martin Laurence (39), Zacharia Nalinga (49) na Said Moshi, miili yao imehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Tumbi, Kibaha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK