Povu la Shamsa Baada ya Mume Wake, Chid Mapenzi Kutajwa Listi ya Wanaume Aliotoka Nao Wolper

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Povu la Shamsa Baada ya Mume Wake, Chid Mapenzi Kutajwa Listi ya Wanaume Aliotoka Nao Wolper
MSANII wa Bongo Fleva, Harmonize ‘Konde Boy’ ameibuka na mpya huku vita baridi kati yake na ex girlfriend wake ambaye ni Staa wa Filamu nchini, Jacqueline Wolper ikizidi kushika kasi kwenye mitandao ya kijamii.

Shamsa Ford Aingilia kati baada ya kuona mume wake kutajwa katika listi ya wanaume 12 aliowahi kutoka nao kimapenzi.

Kupitia ukrasa wake wa instagram shamsa Ford aliandika Hivi, "@harmonize mdogo wangu plz nakuheshimu sana nisingependa kuona jina la mume wangu kwenye huo ujinga wenu, chid kwnu ni anaweza kuwa mshkaji kwangu ni mume kulikuwa hakuna haja ya kuweka jina lake wakati unajua ana maisha mengine tusichukuliane poa"


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad