Sakata la Shehena ya Korosho kuchanganywa na Kokoto lafika Patamu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


DODOMA: Serikali kupitia Naibu Waziri wa Kilimo, Mary Mwanjelwa amesema uchunguzi dhidi ya maafisa walioruhusu kusafirishwa kwa shehena ya Korosho iliyochanganywa na kokoto
-
Mpaka sasa hatua zilizochukuliwa na Serikali ni pamoja na kuitaka Bodi ya Korosho Nchini, Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi Ghalani, Tume ya Maendeleo ya Ushirika na Mamlaka ya Serikali za Mitaa kuanza kushirikiana
-
Mikakati iliyoafikiwa ikiwa ni pamoja na kuimarisha usimamizi wa ubora wa Korosho katika mnyororo wake wote ili kudhibiti uhalifu kama huo yoyote
-
Serikali itatoa kauli mara moja pindi uchunguzi dhidi ya watu hao utakapokamilika.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad