AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza leo Mei 21, kwa mara ya kwanza Bungeni tangu atoke gerezani kwa msamaha wa Rais wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewatakia Waislam wote mfungo mwema wa mwezi wa Ramadhan.
“Naomba niwatakie ndugu zangu Waislam mfungo mwema, Kwa wale viongozi naomba muutumie Mwezi Mtukufu kujitathmini, sheria hii pamoja sheria mbovu za habari zinazowabana wananchi kupata habari pia zinatumika kufunga watu jela kisiasa kwa mfano mimi nilifungwa kwa kujadiliana na wananchi wangu kuhusiana na watu kupigwa risasi, watu kutekwa, maiti kuokotwa kwenye viroba watu kutokuwa na uhru wa kuongea n.k,Ni lini sheria hizi zitafutwa ili kulinda Katiba ya nchi hususani ibara ya 18? alihoji Sugu.
Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ aliachiwa huru gereza la Ruanda, Mbeya Mei 10 alipokuwa akitumikia kifungo cha miezi mitano.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK