Vanessa Mdee na Barnaba Wafanya Yao Uswazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Vanessa Mdee na Barnaba  Wafanya Yao Uswazi
Wakali kutokea kwenye industry ya Bongo Fleva Vanessa Mdee pamoja na Barnaba wanategemea kuja kivingine katika mdundo mpya na hii ni baada ya picha zao kusambaa katika mitandao ya kijamii wakionekana wakiwa uswahilini wakiwa location.

Ukiachilia mbali ukaribu uliopo kati ya Vanessa Mdee pamoja na Barnaba nikufahamishe tu kuwa wawili hao walishawahi kukaa na kutoa ngoma kwa pamoja “Siri” mwaka 2015 na ngoma hiyo ilifanya vizuri ndani ya Afrika.

Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Vanessa Mdee pamoja na Barnaba kutoa ngoma ya pamoja na mashabiki wa wakali hawa wakae tayari kuipokea ngoma hii yenye maudhui ya uswazi ingawa wengi hawakutegemea kumuona Vanessa Mdee kushiriki kwenye nyimbo kama hizo kutokana na wengi kumuweka kwenye fungu la watu wenye maisha ya kizungu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad