AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ukiachilia mbali ukaribu uliopo kati ya Vanessa Mdee pamoja na Barnaba nikufahamishe tu kuwa wawili hao walishawahi kukaa na kutoa ngoma kwa pamoja “Siri” mwaka 2015 na ngoma hiyo ilifanya vizuri ndani ya Afrika.
Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Vanessa Mdee pamoja na Barnaba kutoa ngoma ya pamoja na mashabiki wa wakali hawa wakae tayari kuipokea ngoma hii yenye maudhui ya uswazi ingawa wengi hawakutegemea kumuona Vanessa Mdee kushiriki kwenye nyimbo kama hizo kutokana na wengi kumuweka kwenye fungu la watu wenye maisha ya kizungu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK