Wachimbaji wa Madini Wanne Wafariki Dunia Baada ya Kufukiwa Mgodini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wachimbaji wa Madini Wanne Wafariki Dunia Baada ya Kufukiwa Mgodini
Kutoka nchini Afrika Kusini, wachimbaji wa madini wanne wanaripotiwa kufariki dunia baada ya kutokea kwa tetemeko la ardhi wakiwa machimboni, na kufunikwa na mgodi.

Wachimbaji hao ni miangoni mwa wachimbaji wengine 10 waliookolewa katika mgodi huo wa dhahabu ulioko Magharibi jijini Johannesburg.

Inaelezwa kuwa wachimbaji watatu bado wamenasa katika mgodi huo.

Afrika Kusini ni nchi inayoongoza kwa uzalishaji wa madini ya dhahabu lakini imekuwa ikituhumiwa kwa kuwa na rekodi ya usalama dhaifu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad