Waziri Jafo Amtaka Mkandarasi Kuvunja Jengo la Shule na Kujenga Upya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri Jafo Amtaka Mkandarasi Kuvunja Jengo la Shule na Kujenga Upya
Waziri Ofisi Nchi Ya Rais Tamisemi Suleiman Jafo amewataka Wakandalasi wa Suma JKT wanaojenga Shule ya Sekondari Hombolo Kurudia kujenga Shule hiyo baada ya Kuijenga Chini ya Kiwango.

Jafo ametoa agizo madarasa hayo yaiwekewe madawati kwa milioni 20 hiyo ambayo ilitumika kwaajili ya kujenga shule hiyo kutokana ni ilikuwa ni mpango wa Serikali.

Hata hivyo Jafo amesema kuwa ujenzi huo ni mbovu na wanatakiwa kuvunja na kujenga upya katika kiwango cha fedha kilichotolewa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad