Zaidi ya watu 50 wafamaji baada ya mtumbwi wao kuzama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu zaidi ya 50 waripotiwa kufariki na wengine kadhaa hawajulikani walipo baada ya mtumbwi waliokuwa waksafiri nao kuzama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ajali hiyo imetokea  usiku ya Jumatano kuamkia Alkhamis katika mto Tshuapa Kaskazini -Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Ajali hiyo imetokea Monkoto  kuelekea Mbandaka eneo ambalo kunapatika janga la virusi vya ebola tangu Mei 8. Watu 50 wameripotiwa kufariki katika jali hiyo. Taarifa kuhusu ajali hiyo imetolewa Ijumaa na  naibu gavana wa Tshuapa Richard Mboyo Iluka.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad