14 Wafariki kwa Ajali ya Roli na Daladala Mkuranga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

14 Wafariki kwa Ajali ya Roli na Daladala Mkuranga
Watu 14 wamefariki dunia na wengine 4 wamejeruhiwa baada ya Gari dogo aina ya Toyota Hiace kugongana uso kwa uso na Lori la Mchanga lenye namba za usajili T 439 DCC  katika kijiji cha Dundani wilayani Mkuranga.

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Dkt.Steven Mwandambo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na zoezi linaloendelea kwa sasa ni kuwanasua baadhi ya majeruhi walionasa katika magari hayo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad