Alichotabiri Wema Sepetu kwa England Kombe la Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Alichotabiri Wema Sepetu kwa England Kombe la Dunia
ACHA kabisa kwani mastaa mbalimbali wameonekana kufuatilia kwa ukaribu mkubwa michuano ya Kombe la Dunia, sasa muigazaji Wema Sepetu amesema anaamini timu ya Taifa ya England ndiyo mabingwa wa michuano hiyo mwaka huu.

England imeanza vyema michuano ya Kombe la Dunia inayofanyika Urusi baada ya kupata ushindi wa mabao 2-1 kwenye mchezo wao wa kwanza dhidi ya Tunisia.

Wema amejigamba mbele ya mwandishi wa Championi Jumamosi kuwa, England itabeba kombe kwa sababu wachezaji wake wengi ni vijana na wana vipaji vikubwa.

“England ndiyo timu yangu nayoishabikia, kama hujui pia ni shabiki mkubwa wa Man United na wachezaji wengi waliopo Urusi wanachezea United kwa hiyo sikuona haja ya kwenda mbali wakati nyota wa klabu yangu wapo England. Matumaini ni makubwa sana ya kutwaa ubingwa kwani hata ukiangalia mchezo wa kwanza tulipata ushindi mzuri wa mabao mawili tofauti na timu nyingine ambazo zinapewa nafasi,” alisema Wema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad