AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na waandishi wa habari leo ofisi za BAKWATA jijini Dar es Salaam, Mataka amesema kuwa kesho Alhamisi Juni 29 ni siku ambayo mwezi utafuatiliwa, na ametaka umma wa Kiislamu kufuatilia na atakayeuona atoe taarifa kwa shehe wake au imamu wa msikiti wake ili mamlaka zinazohusika na kuutangaza ziweze kuujuza umma.
Pamoja na hayo amewataka Waislam kutopotosha taarifa za mwandamo wa mwezi ili kuondoa taharuki kwa umma.
Pia amesema kuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Shekh Abubakari Zubeir, amemshukuru Rais Magufuli kwa ziara yake ya jana ya kushtukiza katika ofisi za BAKWATA na kuhamasisha ujenzi wa msikiti wa baraza hilo ambapo alitoa mchango wake wa shilingi milion 10 ili kukamilisha ujenzi huo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK