Harmonize: Siwezi Kumchagulia Diamond Mwanamke wa Kuoa, Aoe Yeyote, Kwani Utamu Ntapata Mimi ?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Harmonize: Siwezi Kumchagulia Diamond Mwanamke wa Kuoa, Aoe Yeyote, Kwani Utamu Ntapata Mimi ?
Diamond Platnumz bado amezid kukamata headline mitandaoni kuhusu maisha yake  ya kimahusiano, safari hii Harmonize naye katia neno katika hayo yanayoendelea.

Harmonize amesema hawezi kumshauri Diamond Platnumz awe na nani kwa sasa kati ya Zari, Hamisa au Wema ila ataonesha ushirikiano kwa yeyote akayechaguliwa na Diamond.

“Mimi yeyote; akiniambia leo tunarudi South Africa mimi nipo pale Pretoria, akiambia kwa wakati huu tuhamie Ununio, nipo pale kwa Madam, akiambia official tunachukua Hamisa tunaweka ndani nipo, sasa jamani kwani utamu napata mimi,” Harmonize ameiambia Wasafi TV.

Awali Harmonize alisema kuwa licha ya kufanya kazi na Diamond kwa ukaribu na kusaidiana  katika mambo mbali mbali ni vigumu kwa yeye kumshauri kuhusu mahusiano yake ila watu wa karibu kutoka kwenye familia yake kama Romy Jons na Esma Platnumz wanaweza kufanya hivyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad