AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi(kulia), na aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Nehemia Mchechu.
Kupitia Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Dorothy Mwanyika imesema kuwa kwa mamlaka aliyonayo waziri Lukuvi chini ya kifungu cha 18(1) cha sheria ya Shirika la Nyumba la taifa amesitisha uteuzi huo kuanzia leo Juni 20, 2018.
“Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi kwa mamlaka aliyonayo chini ya kifungu cha 18(I) cha sheria ya Shirika la Nyumba la Taifa ya mwaka 1990 pamoja na marekebisho yake mwaka 2005, ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa shirika hilo”, imesema Taarifa.
Awali katika taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi Disemba 16, 2017 ilimtaka mkurugenzi huyo kusimama majukumu yake ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizokuwa zikimkabiri za utendaji mbovu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK