Kijana Aliyemuokoa Mtoto Gorofani Ashinda Tuzo ya Heshima ya BET

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kijana Aliyemuokoa Mtoto Gorofani Ashinda Tuzo ya Heshima ya BET
Kijana Mamoudou Gassama (Spiderman) raia wa Mali ambaye mwezi uliopita alijipatia umaarufu duniani kote kwa kitendo cha kumuokoa mtoto aliyekuwa akining’inia ghorofa ya tano jijini Paris usiku wa kuamkia leo amekwara tuzo ya heshima ya BET nchini Marekani.

Gassama na wenzake watano Justin Blackman, Anthony Borges, Shaun King, James Shaw Jr. na Naomi Wadler wamepewa tuzo hiyo ya heshima katika kipengele cha “Humanitarian Awards”.


Tazama orodha kamili ya washindi wa tuzo zaa BET 2018 zilizofanyika jijini Los Angeles usiku wa kuamkia leo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad