AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hadi leo Juni 4, saa nne asubuhi bado hakuna ratiba wala mahali ambako msiba huo umewekwa.
Akizungumza na Mwananchi kaimu mkuu wa mkoa wa Iringa Richard Kasesela amesema taratibu zote zitawekwa hadharani baada ya kumalizika kikao hicho kinachofanyika Kanisa Katoliki, Jimbo la Iringa.
"Bado kikao kinaendelea, taratibu zote zitawekwa wazi tukishakubaliana," amesema.
Mapacha hao walifariki Juni 2, 2018 wakati wakiendelea na matibabu katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa baada ya kurejeshwa toka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.
Utility
1996-Mwaka waliozaliwa
2018-Wamefariki
Udzungwa Sekondari- Elimu ya Kidato cha tano na sita
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK