AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nsajigwa aliingia katika benchi la ufundi la klabu hiyo wakati George Lwandamina akiwa Kocha Mkuu wa kikosi hicho kabla ya ujio wa Mkongomani, Mwinyi Zahera.
Nsajigwa anaondoka Yanga ikiwa ni siku moja tu baada ya kuondolewa katika mashindano ya SportPesa Super Cup inayoendelea mjini Nakuru, huko Kenya.
Yanga iliondoshwa na Kakamega HomeBoys kwa mabao 3-1 Jumapili ya June 3 2018 uliopigwa kwenye Uwanja wa Afraha Stadium.
Kuondoka kwa Nsajigwa kutakuwa kunamfanya kocha Noel Mwandila kusalia kwenye benchi la ufundi la Yanga kama Msaidizi pekee
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK