Kuhusu Picha Tata za Uwoya Dogo Janja Asema Haya "Irene ni Staa Mapaparazi Hawakoso"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kuhusu Picha Tata za Uwoya Dogo Janja Asema Haya "Irene ni Staa Mapaparazi Hawakoso"
Msanii Dogo Janja amefunguka kuhusu kusakamwa kwa mke wake, Irene Uwoya kufuatia picha zake alizoweka kwenye mitandao ambazo kwa asilimia kubwa ziliacha wazi umbile lake.

Dogo Janja amesema si kweli mke wake alikuwa uchi kama inavyoelezwa bali ni vazi la kawaida kwa maeneo ya ufukweni, pia mke wake ni staa hivyo mambo kama hayo ni kawaida kutokana na kufuatiliwa na mapaparazi.

“Irene kuvaa vile kwanza alikuwa ufukweni, Irene ni staa popote anapokuwa lazima kuwe na kamera, paparazi hawakosi, kwa hiyo popote wanapoenda paparazi kwao ni content, so alikuwa pale beach kabiga picha kavaa nguo hakuwa uchi,” amesema.

Si Dogo Janja pekee aliyemkingia kifua Irene Uwoya kutokana na picha hizo, bali hata mwingizaji wa filamu Bongo, Shamsa Ford alieleza kuwa Irene alikuwa sahihi kuvaa vile kutokana na eneo husika (ufukweni).
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad