Kuna Vitu Vingi Navimisi Kutoka kwa Ommy Dimpoz Haswa Kipindi Hiki Anachoumwa- Nedy Muziki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kuna Vitu Vingi Navimisi Kutoka kwa Ommy Dimpoz Haswa Kipindi Hiki Anachoumwa- Nedy Muziki
Msanii wa muziki Bongo, Nedy Music amefunguka kuhusu kuuguwa kwa Ommy Dimpoz.

Muimbaji huyo ambaye anasimamiwa na label ya Ommy Dimpoz ‘PKP’ amesema kwa kipindi hiki ambacho Dimpoz anaumwa kuna vingi anavikosa kutoka kwake.

“Kuna vitu vingi ambavyo navimisi kutoka kwa Ommy Dimpoz haswa kipindi hiki anachoumwa. Ni mtu ambaye ananishauri mambo mengi, na mara nyingi huwa tunakaa na kusikiliza kazi zetu,” Nedy Music ameiambia Clouds FM.

Utakumbuka May 2018 Nendy Music alimshirikisha Ommy Dimponz katika wimbo wake uitwao Usiende Mbali. June 15, 2018 ndipo Ommy Diampoz aliweka wazi kwa mashabiki wake kuwa yupo nchini Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu ambapo alifanyiwa upasuaji wa koo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad