Maneno Aliyoandika Rais wa Zimbabwe Baada ya Kuteta na JPM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maneno Aliyoandika Rais wa Zimbabwe Baada ya Kuteta na JPM
Rais wa Zimbabwe Emmerson Dambudzo Mnangagwa, June 28, 2018 aliingia nchini ambapo alipokelewa na mwenyeji wake Rais John Magufuli na pia walifanya mazungumzo ikulu jijini DSM na kuafikiana kushirikiana katika nyanja mbalimbali.

Baada ya mazungumzo kumalizika Rais Mnangagwa aliandika katika ukurasa wake Twitter, nanukuu ” Today in Dar es Salaam, I had an excellent and productive meeting with President Magafuli, following which I engaged with, and listened to, Zimbabweans living in Tanzania. We are committed to strengthening ties with all nations for the benefit of the Zimbabwean people.”

Akimaanisha “Nimekuwa na siku nzuri sana tena yenye ufanisi mkubwa hapa DSM baada ya kukutana na Rais Magufuli na kuwasikiliza Wazimbabwe wanaoishi nchini Tanzania. Tumejidhatiti kuongeza wigo wa kushirikiana na Mataifa mengine kwa ajili ya manufaa ya watu wa Zimbabwe”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad