AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dkt. Randall akizungumza kwenye mkutano na taasisi ya maji ya Afrika Kusini (WISA) amesema kuwa wanachukua kinyesi na mkojo wa binadamu na kuchanganya na maji machafu na kuzalisha mbolea inyojulikana kwa jina ‘new liquid gold- think fertiliser’.
"Mkojo peke yake ni asilimia 1, maji machafu ni asilimia 80 (nitrogen), asilimia 70 ni (potassium) na asilimia 50 (phosphorus) hivi ndivyo virutubisho kwa ajili ya kutengeneza mbolea kutoka kwenye mkojo”, amesema Randall.
Aidha Dkt. Randall ameongeza kuwa sayansi hiyo italisaidia taifa hilo kutokana na hali ya ukame iliyopo, hivyo serikali itatumia gharama ndogo kuagiza mbolea ya nje.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK