AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Matamshi ya Kelly ambayo yalichapishwa na jarida la New York Times hapo jana ni mojawapo ya visa vya uvujaji kutoka ikulu ya White House ambavyo vinaashiria kudodora kwa mazingira ya kazi katika ikulu hiyo chini ya utawala wa Trump. “Wengi wanaofanya kazi White House wanaonyesha dalili ya kutaka kujiuzulu au kutokuwa na haja,” jarida hilo lilisema.
Kelly ambaye alistaafu kama jenerali katika jeshi aliteuliwa na Trump kuwa mkuu wa utumishi wa umma mwaka jana.
Wakati wa kuteuliwa kwake Kelly alikwa na ushawishi mkubwa kwa Trump kabla ya ushawishi huo kuisha. Mapema huu mwaka Kelly aliripotiwa kuonyesha kukerwa na hali ya kazi na kutishia kujiuzulu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK