AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na East Africa Breakfast, Mtatiro amesema kwamba usaliti alioufanya ndiyo Lipumba umemfanya kutotambulika na vyombo mbalimbali vya Chama hicho, hivyo kinachofanyika kwa sasa ni Lipumba pamoja 'kagenge' chake kuungwa mkono na Serikali pamoja na Msajili wa Vyama na Chama Cha Mapinduzi lakini siyo sehemu ya CUF.
Akisisitiza uhalali wa Lipumba ndani ya Chama hicho, Mtatiro amesema kwamba Msaliti wa ndani huwa hasamehewi popote pale duniani, ndiyo maana wao wanapambana na kiongozi huyo kwa kuwa ni adui wa ndani ya chama.
Mtatiro amesema kwamba "Lipumba asiitwe upande wa chama kwani madiwani zaidi ya 400 pamoja na Wabunge wa CUF kutoa wale waliotolewa wakawekwa wa CCM wote wanaunga msimamo wa Chama kwamba CUF ipo lakini Lipumba hana upande".
"Unavyostuka nyoka kalala na watoto ndani ya nyumba unamuua haumshiki mkono, lakini kama ukimuona nje ya uzio wa nyumba yako unamfukuza. Lipumba angekuwa anatusumbua yupo nje ya nyumba yetu tusingehangaika naye, lakini yeye ni adui wa ndani. Wasaliti wa ndani hawasamehewi dunia nzima. Msaliti anayesamehewa ni yule wanje. Ni kam tu vitani. Lakini askari wako wa ndani akienda kuungana na adui haumsamehi. Binafsi siwezi kumsamehe" Lipumba.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK