Nitamsaidia Wema Lakini Siyo Zari- Kajala

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nitamsaidia Wema Lakini Siyo Zari- Kajala
STAA wa Bongo Movies, Kajala Masaja ‘Kay’ amesema anaweza kumsaidia jambo rafiki yake wa kitambo Wema Sepetu lakini siyo mzazi mwenzake na Diamond, Zari kwani hamjui wala hajawahi kumsaidia kwa lolote.



Kajala amesema hayo wakati akipiga Stori na Global TV Online usiku wa kuamkia leo kwenye Bethidei ya Gabo Zigamba, baada ya kuhojiwa iwapo ikitokea Wema na Zari wote wana matatizo na yeye Kajala akawa na nafasi ya kumsaidia mmoja wao anemsaidia yupi.



“Sijui niongee je, lakini nitamsaidia Wema, siwezi kumsaidia Zari kwa sababu sijawahi kumjua wala hajawahi kunisaidia kwa lolote,” alisema Kajala.



Siku za hivi karibuni, ukiachilia mbali Hamisa Mobeto, Wema alikuwa akipewa nafasi kubwa ya kuolewa na Diamond baada ya kuachana na Zari, lakini stori za chini ya kapeti zinadati tayari Diamond amesharudiana na Zari na sasa hivi wote wapo Afrika Kusini wanajiachia na familia yao ya watoto wawili.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad