AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kajala amesema hayo wakati akipiga Stori na Global TV Online usiku wa kuamkia leo kwenye Bethidei ya Gabo Zigamba, baada ya kuhojiwa iwapo ikitokea Wema na Zari wote wana matatizo na yeye Kajala akawa na nafasi ya kumsaidia mmoja wao anemsaidia yupi.
“Sijui niongee je, lakini nitamsaidia Wema, siwezi kumsaidia Zari kwa sababu sijawahi kumjua wala hajawahi kunisaidia kwa lolote,” alisema Kajala.
Siku za hivi karibuni, ukiachilia mbali Hamisa Mobeto, Wema alikuwa akipewa nafasi kubwa ya kuolewa na Diamond baada ya kuachana na Zari, lakini stori za chini ya kapeti zinadati tayari Diamond amesharudiana na Zari na sasa hivi wote wapo Afrika Kusini wanajiachia na familia yao ya watoto wawili.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK