Ukimwi na Mimba Vilinisumbua Sana- Gigy Money

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ukimwi na Mimba Vilinisumbua Sana- Gigy Money
Msanii na 'video vixen’ maarufu nchini, Gift Stanford 'Gigy Money’ amesema kuwa katika vitu vilivyowahi kumtesa akilini kwake wakati wa ukuaji wake ni pamoja na nasaha za mama yake kuhusu kujikinga na maambukizi ya UKIMWI pamoja na mimba za utotoni.

Gigy amefunguka hayo kupitia KIKAANGONI ya East Africa Television, inayorushwa mubashara kwenye ukurasa wake wa Facebook, ambapo amesema alipopevuka mama yake alimwambia kuwa kuna mimba na UKIMWI anatakiwa kujiepusha na vishawishi.

''Nilipopevuka tu mama yangu akaniambia kuna Mimba na UKIMWI hivyo vitu vilinisumbua sana lakini vilinisaidia'', amesema Gigy Money.

Gigy amesema kuwa vitisho hivyo vilimsaidia, ambapo kwa sasa ametimiza umri wa miaka 21, akiwa mzima wa afya na amefanikiwa kujifungua mtoto wake kawaida.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad