AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gigy amefunguka hayo kupitia KIKAANGONI ya East Africa Television, inayorushwa mubashara kwenye ukurasa wake wa Facebook, ambapo amesema alipopevuka mama yake alimwambia kuwa kuna mimba na UKIMWI anatakiwa kujiepusha na vishawishi.
''Nilipopevuka tu mama yangu akaniambia kuna Mimba na UKIMWI hivyo vitu vilinisumbua sana lakini vilinisaidia'', amesema Gigy Money.
Gigy amesema kuwa vitisho hivyo vilimsaidia, ambapo kwa sasa ametimiza umri wa miaka 21, akiwa mzima wa afya na amefanikiwa kujifungua mtoto wake kawaida.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK