AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Prof Mbarawa amefika ofisini hapo na kufanya mazungumzo na wafanyakazi wa DAWASCO ambapo amesmshukuru Mungu na Rais JPM kwa kumpa nafasi hiyo.
“Namshukuru Mungu, pia namshukuru Rais kwa kunipa hii Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwani naamini nitakuja kuyabadilisha maisha ya Watanzania” -Prof Mbarawa
“Lazima tuwaletee maji Watanzania haiwezekani watu wapo hapa DSM na hawana maji, nataka mpate wateja laki nane na hamsini elfu, kwani itasaidia kuongeza mapato, tuhakikishe wateja wote wanaotaka maji wanapata maji”– Prof Mbarawa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK