AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Antonio Conte anafutwa kazi Chelsea baada ya kudumu na club hiyo kwa miaka miwili na amefanikiwa kuiongoza Chelsea kutwaa taji la Ligi Kuu England msimu wa na Kombe la FA lakini Conte ameweka rekodi ya kuiongoza Chelsea kupata ushindi katika game 30 kati ya 38 za Ligi Kuu.
Taarifa zilizoripotiwa kuwa maamuzi hayo ya Chelsea kumfuta kazi Antonio Conte yatawagharimu Chelsea kumlipa Antonio Conte fidia ya pound milioni 9 ili kufidia sehemu ya mkataba wake uliyobaki.
Antonio Conte alijiunga na Chelsea mwaka 2016 baada ya kuacha kazi ya kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Italia, hivyo nafasi ya Conte inatajwa kuwa itarithiwa na Maurizio Sarri ambaye alikuwa kocha wa Napoli.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK