COSTECH Waikubali Barua Walioiandikia TWAWEZA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

COSTECH Waikubali Barua Walioiandikia TWAWEZA
MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH),  Amos Nungu,  amekiri kuwa barua iliyosambaa mitandaoni kwenda taasisi ya utafiti ya Twaweza  ni yao.

Nungu aliyasema hayo leo ofisini kwake wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu barua iliyotumwa na tume yake kwenda Twaweza ikiwataka kujieleza kwa kuendesha utafiti bila ya kibali cha tume yake.

Kiasi cha wiki mbili zilizopita, Twaweza ilifanya utafiti kuhusu hali ya siasa na wanasiasa nchini na kutoa matokeo yake.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad