AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Croatia imetinga robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuifunga Denmark anayochezea Yussuf Poulsen kwa penalti 3-2.
Hii ni baada ya mechi kwisha kwa dakika 120 kukiwa na sare ya bao 1-1, yote mawili yakiwa yamefungwa ndani ya dakika 4 za mwanzo.
Mikwaju ilikuwa na burudani kubwa huku makipa wa kila upande wakionyesha ujuzi wa kupangua penalti.
Ivan Raktic ndiye aliyemalizia mkwaju wa mwisho na kuimaliza Denmark ambayo ilionekana kama ina nafasi ya kusonga baada ya kipa wake, Kasper Schmeichel kuonyesha ujuzi akipangua penalti mfululizo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK