AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jaydee aliwasiri nyumbani kwa Kiponde akiongozana na mpenzi wake @Spicymuzik na kuelekea eneo alilokuwa amekaa mfiwa huyo ambaye pembeni yake alikuwepo amekaa Gadner.
Jay D alipofika eneo hilo kwaajili ya kutoa pole kwa wafiwa watu wote akiwemo na Gardner walisimama kwa heshima ili kusalimiana nao naye mwanamama huyo alitoa salamu hiyo kwa wote ikiwemo kwa aliyekuwa mume wake Gardner.
Mke wa Ephrahim Kibonde, Sara Kibonde amefariki dunia usiku wa Jumanne, Julai 10, 2018, katika Hospital ya Hindu Mandal akipatiwa matibabu ambapo leo ibada ya mazishi ilifanyika nyumbani kwa kwake na mwili wa marehemu utaenda kupumzishwa katika makaburi ya Kinondoni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK