Jay Dee na Gardner Wakutana Uso kwa Uso.... Wasalimiana kwa Kushikana Mikono

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jay Dee na Gardner Wakutana Uso kwa Uso.... Wasalimiana kwa Kushikana Mikono
Wahenga wanasema milima haikutani lakini binadamu wanakutana! leo kauli hiyo imeonekana baada ya Gadner G. Habash   kupeana mkono na aliyekuwa mkewe Judith Wambura maarufu kama Jdee wakati Jaydee alipokwenda kumpa mkono wa pole Kibonde kufuatia kufiwa na mkewe.

Jaydee aliwasiri nyumbani kwa Kiponde akiongozana na mpenzi wake @Spicymuzik na kuelekea eneo alilokuwa amekaa mfiwa huyo ambaye pembeni yake alikuwepo amekaa Gadner.

Jay D alipofika eneo hilo kwaajili ya kutoa pole kwa wafiwa watu wote akiwemo na Gardner walisimama kwa heshima ili kusalimiana nao naye mwanamama huyo alitoa salamu hiyo kwa wote ikiwemo kwa aliyekuwa mume wake Gardner.

Mke wa Ephrahim Kibonde, Sara Kibonde amefariki dunia usiku wa Jumanne, Julai 10, 2018, katika Hospital ya Hindu Mandal akipatiwa matibabu ambapo leo ibada ya mazishi ilifanyika nyumbani kwa kwake na mwili wa marehemu utaenda kupumzishwa katika makaburi ya Kinondoni.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad