AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lugola ambaye ni mbunge wa Mwibara aliapishwa jana Julai 2, 2018 Ikulu jijini Dar es Salaam akichukua nafasi ya Dk Mwigulu Nchemba ambaye ameachwa kwenye baraza la mawaziri la Rais John Magufuli.
Waziri Lugola amepokewa ofisini leo Julai 3, 2018 saa 5:20 na viongozi na watumishi wa wizara hiyo.
Baada ya kushuka ndani ya gari, Lugola alisalimiana kwa kukumbatiana na Masauni. Pia, alisalimiana na katibu mkuu na manaibu wake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK