Kangi Lugola Atinga Ofisi Ndogo Wizara ya Mambo ya Ndani Kukabidhiwa Ofisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kangi Lugola  Atinga Ofisi Ndogo Wizara ya Mambo ya Ndani Kukabidhiwa Ofisi
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amewasili katika ofisi ndogo ya wizara hiyo jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kukabidhiwa ofisi baada ya kuapishwa.

Lugola ambaye ni mbunge wa Mwibara aliapishwa jana Julai 2, 2018 Ikulu jijini Dar es Salaam akichukua nafasi ya Dk Mwigulu Nchemba ambaye ameachwa kwenye baraza la mawaziri la Rais John Magufuli.

Waziri Lugola amepokewa ofisini leo Julai 3, 2018 saa 5:20 na viongozi na watumishi wa wizara hiyo.

Baada ya kushuka ndani ya gari, Lugola alisalimiana kwa kukumbatiana na Masauni. Pia, alisalimiana na katibu mkuu na manaibu wake.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad