Kauli ya Idriss Baada ya Hukumu ya Wema Sepetu "Kama Vipi Ntalipa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kauli ya Idriss Baada ya Hukumu ya Wema Sepetu "Kama Vipi Ntalipa"
Baada ya hukumu ya Wema Sepetu kutoka leo July 20,2018 na kuhukumiwa mwaka mmoja jela au kulipa faini ya shilling Milion 2, Idris Sultan ambaye aliwahi kuwa mapenzini na Wema Sepetu ameamua kusema kuwa atamsaidia kulipa  faini hiyo ya Milion 2 aliyoamuriwa na mahakama.

Maneno hayo ameyasema kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya ku-post nusu picha ya Wema Sepetu na kuandika “🍒 wa sultan hawakai mbali na Sultan kama vipi nitalipa 😒”



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad