Kume Lulu Diva Kahamisha Kambi kwa Bill Nass na Si Rich Mavoko Tena

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kume Lulu Diva Kahamisha Kambi kwa Bill Nass na Si Rich Mavoko Tena
HITMAKER wa Ngoma ya Ona, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ anadaiwa kutoka kimapenzi na msanii mwenzake, William Lyimo ‘Bill Nas’. Kwa mujibu wa ‘source’ wetu, wawili hao wamekuwa karibu kila kona na wala hawaoni aibu kujibebisha hadharani.

“Walianza kama masihara, tukajua labda Rich Mavoko ndiyo anakaa kwa Lulu kumbe ni Bill Nas bwana, juzi walikuwa tena pamoja wakielekea mkoani sijui mkoa gani lakini picha zao za kujibebisha zinamaanisha,” kilisema chanzo.Risasi Vibes halikuacha ishu hiyo iende ‘plain’ , lilimtafuta Lulu na baada ya kupatikana aliwaka;

“Hivi jamani mtu kuongozana na mwanaume ndiyo kutembea naye? Mbona mnataka kuniharibia kwa mtu wangu niliyekuwa naye?“Bill Nas ni mshikaji   wangu wa kawaida tu, juzi (Jumamosi iliyopita) tuliandaliwa shoo ya pamoja huko Iringa, tukiwa njiani tulikuwa tukipiga mapicha picha kama mtu na rafiki yake, nashangaa watu wanageu-zageuza maneno.”
Chanzo: Global Publishers
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad