AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika taarifa ya Jeshi hilo kwa vyombo vya habari iliyotolewa na kamanda wa polisi wa Mkoa huo Simon Haule inasema walipata taarifa za kupotea kwa mtoto William Emmanuel kutoka kwa Jeshi la polisi singida.
Taarifa hiyo inaeleza binti huyo aliyekuwa msichana wa kazi za ndani 'House Girl' wa Hawa Rojas miaka 20 alimuacha mtoto na binti wa kazi na kwenda kwenye shughuli zake na aliporudi nyumbani alimkosa binti huyo na alitoa taarifa kituo cha polisi na juhudi za kumtafuta ziliendelea.
Julai 13, 2018 binti huyo alikamatwa kata ya Nyasubi wilayani Kahama mkoani Shinyanga na baada ya kuhojiwa alikiri kutenda kosa hilo na kueleza sababu ya kufanya hivyo ni ugumba uliopelekea kuachana na mumewe Yohana Cyprian (24)
Haule amesema binti huyo atasafirishwa hadi mkoani singida lilipotokea tukio hilo na kuwataka wazazi kuwa makini na watoto wao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK